BUKOBA SPORTS

Sunday, August 31, 2014

LEICESTER 1 vs 1 ARSENAL, YALE YALE...GUNNERS SARE TENA! ALEXIS SANCHEZ AFUNGA BAO, MPYA LEONARDO ULLOA ASAWAZISHA!


Arsenal ndio walitangulia kufunga kwa Bao la Mchezaji wao mpya Alexis Sancheza katika Dakika ya 20 lakini Dakika 2 baadae Leicester walisawazisha kwa Bao la Mchezaji wao mpya Leonardo Ulloa.
Hii ni Mechi ya pili mfululizo kwa Arsenal kutoka Sare kwenye Ligi baada ya Wiki iliyopita kutoka 2-2 na Everton huko Goodison Park.
Alexis sanchez akifunga bao.
MATOKEO: LIGI KUU ENGLAND
Jumapili Agosti 31
Aston Villa 2 vs 1 Hull 
Tottenham 0 vs 3 Liverpool  
Leicester 1 vs 1Arsenal 

No comments:

Post a Comment