Mpachika mabao huyo ataigharimu klabu hiyo ya Old Trafford Pauni Milioni 12 kwenda kuungana na Angel di Maria, Daley Blind, Luke Shaw, Ander Herrera na Marcos Rojo katika orodha ya wachezaji wapya kwenye kikosi cha Louis van Gaal.
REKODI YA FALCAO.
River Plate (2005-2009): Mechi 105 mabao 45
Porto (2009-2012): Mechi 87 mabao 72
Atletico Madrid (2011-2013): Mechi 91 mabao 70
Monaco (2013-2014): Mechi 22 mabao 13
Colombia: Mechi 51 mabao 20
No comments:
Post a Comment