BUKOBA SPORTS

Tuesday, September 30, 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: CSKA MOSCOW 0 vs 1 BAYERN MUNICH, THOMAS MULLER AIPA USHINDI BAYERN!

PENATI ya dakika ya 22 ya kipindi cha kwanza ya Thomas Müller imewapa ushindi wa Bayern Munich usiku huu kwenye Mchezo Klabu Bingwa Ulanya(UEFA CHAMPIONS LEAGUE).

Mechi hiyo ilichezwa bila mashabiki.

Thomas Muller ameipa ushindi  Bayern Munich wa bao 1-0 dhidi ya CSKA Moscow kwenye mtanange uliochezwa bila Mashabiki kwenye Uwanja wa Luzhniki.

Kipa wa CSKA Moscow  Igor Akinfeev ahakuona ndani shuti kali la mkwaju wa penati wa Thomas
Muller akiziona nyavu za SCKA Moscow

Kipa wa CSKA Moscow  Akinfeev akiwa hoi baada ya kufungwa bao kwa mkwaju wa penati.

Baadhi ya wachezaji wa Bayern Munich wakipongezana baada ya kupata bao hilo lililofungwa na Thomas.

No comments:

Post a Comment