BUKOBA SPORTS

Tuesday, September 30, 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MANCHESTER CITY 1 vs 1 AS ROMA

Totti alipoisawazishia bap Roma1-1
Manchester City wanapata penati na kufunga bao la kwanza ndani ya dakika 4 kupitia kwa Sergio Aguero. Roma nao walipachika bao la kusawazisha kupitia kwa Francesco Totti katika dakika ya 23 kipindi hicho hicho cha kwanza.Ashley Cole
Cole ni mechi yake ya kwanza kucheza England tangu aondoke Chelsea 

No comments:

Post a Comment