BUKOBA SPORTS

Friday, October 3, 2014

DEMBA BA AISAWAZISHIA BAO SPURS NA KUTOKA SARE YA 1-1 NA BESIKTAS, EUROPA LEAGUE.

PENATI ya dakika ya 89 ya Demba Ba imewaokoa Spurs kichapo na kumaliza mtanange huo  sare kwa kutoshana nguvu na timu ya Besiktas baada ya mchezaji wao kuunawa mpira kwenye eneo la box. Mchezo huo ulipigwa kwenye Uwanja wa White Hart Lane.

Demba Ba akishangilia bao lake la penati baada ya kuisawazishia Spurs dhidi ya Besiktas kwa kuweka sare ya 1-1 na kugawana pointi kwenye mchezo wa Europa League hapo kwenye Uwanja wa nyumbani White Hart Lane

Straika wa zamani wa Chelsea Demba Ba ndie aliyefunga penati katika dakika ya 89 na kuiokoa Spurs wakiwa kwao White Hart Lane.

Mashabiki wa Besiktas wakishangilia bao lao kwennye Uwanja wa White Hart Lane

No comments:

Post a Comment