BUKOBA SPORTS

Saturday, October 4, 2014

NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014


ambaye ni mwakilishi kutoka

Tano bora ilikuwa hii



Ommy Dimpoz akiwa kwenye red carpet


Msami akitoa burudani ya nguvu ndani ya Maisha club jijini Dar

Mambo yalikuwa hivyo kwa baadhi ya washiriki

Mardha John akifanya vitu vyake



Huyu ni balaaaa

Elizabeth Eliud akikizungusha kiuno chake

Dorice Molel akifanya ya kwake kwenye stage

Kwa Naomi Kisaka ilikuwa ni shidaaaaaa

Huyu alikuja kiivi

Sabina Thomas alitoka kivyake vyake

Weeeeee hii ni shida

Maureen Godfrey akishake kwenye stage

Majaji wakifuatilia shindano hilo kwa makini

Nicole Franklyn Sarakikya akiimba kwa hisia kali

Hapa ni mwendo wa burudani tu

Ni mwendo wa furaha tu

Camilla John aliimba kwa hisia

Hii ni kikwetu kwetu

Happy Sosy alikuja kama Beyonce

Queen Latifa Hamisi yeye aliamua kukata nyonga

Ni mwendo wa mauno

Ni furaha tu

Ngoma ziliamia India kwa muda

Mc wa mashindano ya Redds Miss Tanzania Talent, Hypeman Hk akifanya ya kwake kwenye jukwaa la New Maisha Club.

Ommy Dimpoz akitoa burudani kwenye stage ya Tanzania Miss Talent iliyofanyika ndani ya New Maisha Club Dar es salaam.

Kazi inaendelea hapa


Majaji wakijadiliana jambo

Ilikuwa ni shidaaaaaa


Ommy Dimpoz (kulia) akiimba pamoja na Christian Bella waimbo wa mama ulioleta amasa kwa mashabiki wake.

Majaji wakiongozwa na Chief jaji Martin Kadinda wakitoa maoni juu ya washiriki walioonesha vipaji vyao

Chief Jaji Martin Kadinda akitangaza washindi




Baadhi ya mashabiki wakifuatilia kwa makini tukio lililokuwa likiendelea

No comments:

Post a Comment