BUKOBA SPORTS

Sunday, October 19, 2014

STOKE CITY 2 vs 1 SWANSEA CITY, JONATHAN WALTERS AIPA USHINDI STOKE!

Walters is mobbed by his Stoke team-mates after securing a vital three points for the hosts against a strong Swansea sideWachezaji wa Stoke City wakipongezana.Jonathan Walters watches as his well-placed header sails past the dive of Lukas Fabianski and into the corner of the net Jonathan Walters ameifungia bao la kichwa  na kuipa Ushindi Stoke City leo Jumapili kwenye Ligi kuu England Bao hilo limefungwa kipindi cha pili dakika ya 76.Marc Wilson is put under pressure by Bony as Swansea looked to press from the front and deny their opponents time on the ball Kipindi cha kwanza timu zote zilijipatia bao kwa Mikwaju ya penati. Penati ya kwanza ilifungwa na Wilfried Bony  katika dakika ya 34 na penati ya Stoke City ilipigwa na Charlie Adam katika dakika ya 43 baada ya Moses kujitupa ndani ya box na mwamuzi kudai ni penati.Bony sends Asmir Begovic the wrong way to put Swansea ahead as Garry Monk's side looked to continue their strong start to the seasonBony akifunga penatiBony celebrates his goal but Stoke felt that the penalty was harsh, as the ball was sailing way over the striker's head from a cornerAkishangilia bao lakeMichael Oliver is surrounded by Stoke players after awarding a controversial penalty against Ryan Shawcross for fouling Wilfried BonyMoses kujitupa chini...Utata ulitokea!!! Mwamuzi akiteta na WachezajiAdam made no mistake from 12 yards to put Stoke level before the break, firing beyond the dive of Lukas Fabianski in the Swansea goalWachezaji wa Swansea wakishangaa na kujiuliza...!! kwa kile kilichotokea!!Garry Monk and Mark Hughes watch on as their two sides cancelled each other out in a hard-fought first halfKocha wa Swansea City Monk akitoa maelekezoAdam celebrates his equaliser but Swansea were livid that Moses, a constant thorn in their side, had been awarded the soft penaltyAdam akishangilia bao lake la mkwaju wa penati

No comments:

Post a Comment