BUKOBA SPORTS

Monday, December 22, 2014

STOKE CITY 0 vs 2 CHELSEA, JOHN TERRY NA CESC FABREGAS WAIPA BLUES USHINDI NA KUITUPA KILELENI ZAIDI!

Kipindi cha pili dakika ya 78 Cesc Fàbregas aliwafungia bao la pili Chelsea na kufanya 2-0 baada ya kupata pasi kutoka kwa Eden Hazard.Cesc Fàbregas akitupia bao la piliJohn Terry akipongezwa na wenzake baada ya kuipachikia bao la mapema dakika ya 2John Terry anaifungia bao la kwanza Chelsea dakika ya 2 na kufanya 1-0 dhidi ya Stoke City kwenye Uwanja wa Britannia usiku huu. Bao likifungwa kwa kichwa baada ya kupigwa kona.Kocha wa Chelsea Jose Mourinho
VIKOSI:
Stoke City starting XI:
Begovic, Bardsley, Shawcross, Muniesa, Pieters, Cameron, Nzonzi, Walters, Bojan, Arnautovic, Crouch
Stoke subs: Butland, Huth, Whelan, Wilson, Adam, Diouf, Assaidi
Chelsea starting XI: Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Mikel, Matic, Willian, Fabregas, Hazard, Diego Costa
Chelsea subs: Cech, Filipe Luis, Zouma, Ake, Oscar, Schurrle, Drogba

No comments:

Post a Comment