BUKOBA SPORTS

Tuesday, January 20, 2015

AFRICA CUP OF NATIONS: MALI 1 vs 1 CAMEROON


Mjini Malabo katika Mechi ya pili ya Kundi D la Mashindano ya Mataifa ya Afrika, AFCON 2015, Mali na Cameroun zilitoka Sare ya Bao 1-1.
Ambroise Oyongo aliokoa kipigo Cameroun baada ya kusawazisha katika Dakika ya 84 kufuatia Bao la Dakika ya 71 la Mali lilifungwa na Sambou Yatabare.

No comments:

Post a Comment