BUKOBA SPORTS

Tuesday, January 27, 2015

MPIGANAJI MZEE JOSEPH BAJUMUZI AZIKWA KWAO KIJIJINI MUGANA - KANTALE, BUKOBA

Marehemu Mzee Joseph Bajumuzi enzi ya Uhai wake.
Marehemu Joseph Bajumuzi alifikwa na mauti mapema  wiki iliyopita katika Hospitali  Mugana alipokuwa akitibiwa Wilayani Misenyi Bukoba Vijijini. Marehemu ameacha Watoto 15 pia marehemu alifariki akiwa na Umri wa Miaka 91. Katika Uzao wake Marehemu alibahatika kupata watoto 17 kati ya hao Wasichana 10 na Wavulana 7, Wawili kati ya hao walishatangulia mbele ya haki(Walishafariki).Baadhi ya Ndugu jamaa na Marafiki wakitoa Salaam za mwisho kwa marehemu.


















No comments:

Post a Comment