Mauro Icardi ndie kaisawazishia bao Inter kipindi cha pli Dakika ya 64 na kufanya mchezo kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
Mauro Icardi akisikilizia mashabiki Uwanjani!! Baada ya kusawazisha bao!

Mapema kipindi cha kwanza dakiika ya 5 Carlos Tevez aliwapa Bao Juve na kufanya 1-0 dhidi ya Timu ya Internazionale.
No comments:
Post a Comment