
Falcao akishangilia bao lake
Falcao anaipachikia bao la 2 Man united na kufanya 2-0 dhidi ya Leicester City.
Van Persie dakika ya 27 anaifungia bao Man United.
Di Maria akichuana na Danny wa Leicester

Taswira Kocha wa Man united Luis Van Gaal akiwacheki Vijana wake leo na Timu ya Mkiani Leicester

Blind na Adrej

Van Persie aliwachomoka maeki wa Leicester na kufunga bao

Van Persiee akishangilia bao lake la kwanza kwa Man United leo

Wes alijifunga bao la tatu na kuwapa zawadi ya bao Man United

Wes Morgan akipagawa baada ya kujifunga bao hilo.

Marcos Rojo akipongezwa na Kocha wake mara baada ya mpira kumalizika..akimsifu kwa kucheza kwa kiwango akilinda nyumba yake..
RATIBA/MATOKEO
Jumamosi Januari 31
Hull City 0 v 3 Newcastle
Crystal Palace 0 v 1 Everton
Man United 3 vs 1 Leicester City
Liverpool 2 v 0 West Ham
Stoke 3 v 1 QPR
Sunderland 2 v 0 Burnley
West Brom 0 v 3 Tottenham
Chelsea 1 v 1 Man City
No comments:
Post a Comment