Tottenham walitoka Sare 2-2 na Sheffield United kwenye Marudiano ya Nusu Fainali ya Capital One Cup na kutinga Fainali kwa watakayocheza Wembley na Chelsea.
Tottenham wamesonga kwa Jumla ya Mabao 3-2 baada ya ushindi katika Mechi yao ya kwanza iliyochezwa pia Wiki iliyopita huko White Hart Lane, walipoifunga Sheffield United Bao 1-0 kwa Bao la Penati iliyotolewa Dakika ya 75 baada ya Jay McEveley kuushika Mpira na Andros Townsend kupiga Penati hiyo na kufunga.
Kyle Walker

VIKOSI:
Sheffield United: Howard, Harris, Basham, Flynn, Doyle, Murphy, McEveley Scougall, Baxter, McNulty, Campbell-Ryce.
Akiba: Alcock, Higdon, Reed, Turner, Kennedy, Adams, Wallace
Tottenham: Vorm, Walker, Dier, Vertonghen, Davies, Mason, Stambouli, Lamela, Dembele, Eriksen, Kane.
Akiba: Friedel, Fazio, Rose, Paulinho, Townsend, Adebayor, Soldado
Refa: Mike Dean
Akiba: Alcock, Higdon, Reed, Turner, Kennedy, Adams, Wallace
Tottenham: Vorm, Walker, Dier, Vertonghen, Davies, Mason, Stambouli, Lamela, Dembele, Eriksen, Kane.
Akiba: Friedel, Fazio, Rose, Paulinho, Townsend, Adebayor, Soldado
Refa: Mike Dean

No comments:
Post a Comment