Gabriel Paulista akipozi kupata picha baada ya kujiunga na Klabu ya Arsenal. Paulista amejiunga rasmi na Klabu hiyo leo Jumatano. Na hapa akiwa amebeba jezi ambayo ataivaa katika Klabu ya ya Arsenal.
Gabriel Paulista ana Umri wa miaka 24.
Uhamisho huo wa Gabriel Paulista unamfanya Joel Campbellkujiunga kwa Mkopo na Klabu aliyotoka ya Villarreal kwa Mkopo.
No comments:
Post a Comment