BUKOBA SPORTS

Wednesday, January 28, 2015

AFCON 2015: CAMEROON 0 vs 1 IVORY COAST, MAX GRADEL AITUNGUA CAMEROON! YAYA TOURE NA WILFRIED BONY KUWAKOSA CHELSEA WIKIENDI KUTOKANA NA USHINDI HUU WA KUSONGA ROBO FAINALI.

Bao la Max Gradel dakika ya 35 kipindi cha kwanza lilitosha kumaliza kipindi cha kwanza Ivory Coast wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya Cameroon.
Kipa wa Cameroon hakuona ndani shuti kali la Gradel
Gradel akishangilia bao lake la pekee kwa Ivory Coast

Gradel akipongezwa na maoja ya Wachezaji wawili wanaokipiga Klabu ya City Yaya Toure pamoja na Wilfried BonyWilfried Kanon na Mchezaji wa Cameroon Benjamin Moukandjo wakioneshana kazi..
Yaya Toure na Eric Choupo kwenye Patashika..
Mchezaji mpya wa Manchester City Wilfried Bony juu kwa juu kugombea mpira wa kichwa na Nicolas N'Koulou
Kolo Toure na Edgar Salli wa CameroonSeydou Keita akilalamika  kwa Mwamuzi juu ya penati Mtanange uliomalizika kwa sare ya 1-1.

No comments:

Post a Comment