Ivory Coast walitangulia kufunga Dakika ya 21 kwa Bao la Yaya Touré ambae aliwasha Shuti la Mita 20 na kumwacha Kipa machachari Kidiaba akitapatapa.
Congo DR walisawazisha kwa Penati ya Dakika ya 24 iliyotolewa baada ya Bailly kuunawa Mpira na Mbokani kufunga.
Hadi Mapumziko Ivory Coast 2 Congo DR 1.
Kipindi cha Pili, Dakika ya 68, Wilifried Kanon aliipa Ivory Coast Bao la 3 na kutinga Fainali kwa Bao 3-1.
Alhamisi ni Nusu Fainali nyingine kati ya Wenyeji Equatorial Guinea na Ghana.
No comments:
Post a Comment