Congo walipata Bao lao la kwanza katika Dakika ya 55 baada ya Frikiki ya Ndinga kuunganishwa na Férébory Dore.
Ferebory of Congo celebrates his goal during a quarterfinal match of Africa Cup of Nations between Congo and the Democratic Republic of Congo at the Stadium of Bata, Equatorial Guinea, Jan. 31, 2015. DR Congo won 4-2. (Xinhua/Li Jing)
A football fan of the Democratic Republic of Congo chant before a quarterfinal match of Africa Cup of Nations between Congo and the Democratic Republic of Congo at the Stadium of Bata, Equatorial Guinea, Jan. 31, 2015. DR Congo won 4-2. (Xinhua/Li Jing)
A football fan of the Democratic Republic of Congo chant before a quarterfinal match of Africa Cup of Nations between Congo and the Democratic Republic of Congo at the Stadium of Bata, Equatorial Guinea, Jan. 31, 2015. DR Congo won 4-2. (Xinhua/Li Jing)
Congo DR wakafufuka na kupiga Bao 4 kupitia Mbokani, Dakika ya 65, Loteteka Bokila, Dakika ya 75, Joel Kimwaki, Dakika ya 81, na Mbokani tena Dakika ya 90 na kusonga Nusu Fainali ambapo watacheza na Mshindi kati ya Ivory Coast na Algeria.
Washindi wa Mechi hizo 4 watatinga Nusu Fainali.
No comments:
Post a Comment