Wasanii wa Bongo Flava Amini na Barnaba Boy Wakishuka kwenye Ndege asubuhi hii kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba tayari kwa kutoa Burudani ya Nguvu kwenye siku maalum ya Valentine Day ambayo itafanyika Usiku huu kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club Bukoba Mjini. Waandaaji ni Zachwa Investment wakishirikiana na Shemeji Investment
Karibu Bukoba
One love...
Msanii wa Muziki wa Bongo Flava Barnaba Boy
Amini
No comments:
Post a Comment