Straika wa West Brom Brown Ideye akishangilia bao katika dakika ya 20 dhidi ya West Ham kwenye Uwanja wao wa Hawthorns
Craig Dawson alitupia nae
James Morrison hatari sana leo!
BAO za West Bromwich Albion zilifungwa na
Brown Ideye katika dakika ya 20, Morrison 42, Brown Ideye dakika ya 57, Saido Berahino dakika ya 72
3-0
Straika Saido Berahino
Morgan Amalfitano na Chris Brunt walipishana akili hapa!!
Morgan Amalfitano mbele ya Mwamuzi akifanya ndivyo sivyo!!
Nje!!
Tony Pulis furaha tupu leo hii baada ya kuichapa West Ham 4-0
Carl Jenkinson wa West Ham dhidi ya Stephane Sessegnon leo kwenye mchezo wa Raundi ya tano
Craig Gardner chupuchupu afunge bao
Saido Berahino
Ideye
Brown Ideye akishangilia tena
Craig Gardner akikabwa vilivyo...
Meneja Tony Pulis wa West Brom akishangilia timu yake kuibuka na Ushindi wa bao 4-0 dhidi ya West Ham na kusonga hatua ya Raundi ya 6 ya FA Cup ambayo ndio Robo Fainali ya Ligi hiyo leo Jumamosi.
Ideye akifanya mambo yake baada ya kufunga bao
No comments:
Post a Comment