BUKOBA SPORTS

Sunday, March 29, 2015

FULL TIME: GEORGIA 0 vs 2 GERMANY, MARCO REUS NA THOMAS MULLER WAIPA USHINDI GERMANY- EURO 2016

BAO za Germany zilifungwa na Marco Reus dakika ya 39 na lile la dakika ya 44 la Thomas Müller zilitosha kuipa Germany Ushindi wa Bao 2-0 dhidi ya wenyeji Gergia leo zikiongozwa na Mwamuzi Clément Turpin.
Mpaka ndani ya Nyavu.
Thomas Muller akiachia shuti na kuifunga Timu ya Georgia leo

No comments:

Post a Comment