Wachezaji hao ni pamoja na Straika wa Arsenal Danny Welbeck alieumia Goti Ijumaa wakati England inaichapa Lithuania 4-0 na kuzidi kupaa kileleni mwa Kundi E la EURO 2016.
England v Italy ni Mechi ya Kirafiki lakini hii Leo Italy wanacheza Mechi yao ya Kundi H la EURO 2016 dhidi ya Bulgaria.
No comments:
Post a Comment