Katika mchezo wa kwanza uliochezwa wiki iliyopita timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana. Akihojiwa Ancelotti amesema hana shaka sana kuelekea katika mchezo huo utakaofanyika katika Uwanja wa Santiago Bernabeu pamoja na majeruhi alionao. Kocha huyo aliendelea kudai kuwa anadhani Isco ataweza kuiziba nafasi ya Modric katika nafasi ya kiungo huku Jese na Chicharito wakitarajiwa kuziba nafasi za Benzema na Bale.
Tuesday, April 21, 2015
CARLO ANCELOTTI: TUTAPAMBANA KUFA NA KUPONA DHIDI YA ATLETICO MADRID LICHA YA KUANDAMWA NA MAJERUHI!!
Katika mchezo wa kwanza uliochezwa wiki iliyopita timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana. Akihojiwa Ancelotti amesema hana shaka sana kuelekea katika mchezo huo utakaofanyika katika Uwanja wa Santiago Bernabeu pamoja na majeruhi alionao. Kocha huyo aliendelea kudai kuwa anadhani Isco ataweza kuiziba nafasi ya Modric katika nafasi ya kiungo huku Jese na Chicharito wakitarajiwa kuziba nafasi za Benzema na Bale.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment