Ushindi huu umeisogeza Real kuwa Pointi 1 nyuma ya Vinara Barcelona ambao baadae Leo wako Ugenini kucheza na Timu ngumu Sevilla isiyofungika kwao. Ronaldo akishangilia bao lake la 301 na wenzake..Jese akishangiliaJese nae kafunga bao!Chicharito akitupia...Watazamaji Uwanjani ni 65000
Real Madrid bao zake zilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 21 kipindi cha kwanza na bao la pili lilifungwa na Javier Hernández mchezaji wa Manchester United anayekipa Klabuni hapo katika dakika ya 31. Jese alifunga bao la mwisho la tatu dakika ya 83 na mtanange kumalizika kwa 3-0 dhidi ya Eibar.Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake la 301
VIKOSI:
Real Madrid XI: Navas, Arbeloa, Varane, Ramos, Marcelo; Modric, Isco, Illarramendi, Hernandez, Ronaldo, Jese
Eibar XI: Irureta, Anibarro, Capa, Borja Fernandez, Dani Garcia, Lillo, Didac Vila, Manu, Saul Berjon, Raul Navas, Javi Lara
Real Madrid bao zake zilifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 21 kipindi cha kwanza na bao la pili lilifungwa na Javier Hernández mchezaji wa Manchester United anayekipa Klabuni hapo katika dakika ya 31. Jese alifunga bao la mwisho la tatu dakika ya 83 na mtanange kumalizika kwa 3-0 dhidi ya Eibar.Cristiano Ronaldo akishangilia bao lake la 301
VIKOSI:
Real Madrid XI: Navas, Arbeloa, Varane, Ramos, Marcelo; Modric, Isco, Illarramendi, Hernandez, Ronaldo, Jese
Eibar XI: Irureta, Anibarro, Capa, Borja Fernandez, Dani Garcia, Lillo, Didac Vila, Manu, Saul Berjon, Raul Navas, Javi Lara
No comments:
Post a Comment