BUKOBA SPORTS

Tuesday, April 21, 2015

FULL TIME: YANGA 3 vs 2 STAND UNITED, SAIMON MSUVA AIPAISHA ZAIDI KILELENI YANGA LEO TAIFA!


Mshambuliaji waYanga, Amis Tambwe akichuana na beki wa Stand United, Peter Mutabuzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Yanga imeshinda 3-2.
Amis Tambwe akichuana na beki wa Stand United, Peter Mutabuzi.
Mrisho Ngasa akimtoka Jisend Mathias.
Mrisho Ngasa akimtoka Jisend Mathias.
Andrey Coutinho (kulia) akichuana na Revocutus Mgunda.
Mrisho Ngasa akiwatoka wachezaji wa Stand United.
Andrey Coutinho (kushoto) akikabana na Abuu Ubwa.
Kipa wa Stand United, Hamad Juma akiokoa mpira mbele ya Simon Msuva.
Amis Tambwe akiwania mpra na Peter Mutabuzi.
Wachezaji wa Stand United wakimalalamikia mwamuzi wa mchezo huo, Ahamada Simba kutoka Kagera.
Simon Msuva akishangilia bao alilofunga.
Mwamuzi ni Ahmada Simba kutoka Mkoani Kagera.

Stand United goli la kwanza dakika ya 20. Amiss Tambwe anasawazishia Young Africans dakika ya 30 na kufanya bao kuwa 1-1. Mrisho Ngassa anaipatia Yanga goli la pili na kufanya 2-1 dhidi ya Stand United.

Hadi mapumziko 2-1.
Dakika ya 65 Kheri Mohamed aliisawazishia bao Stand United kwa kufanya 2-2 na la kwanza alilifunga yeye.

Dakika ya 78 Saimon Msuva anaipatia bao la tatu Yanga kwa mkwaju wa penati na kufanya 3-2 dhidi ya Stand United ya Shinyanga.

Faustine Ruta FULL TIME .....YANGA 3 V 2 STAND UNITED

No comments:

Post a Comment