Cosad ni Shirika lisilo la Kiserikali ambalo linamiradi yake Hapa Mkoani Kagera. Leo jumamosi wamekutana na Wadau kutoka Marekani na kuweka mikakati mipya katika Mradi huo wa Mbuzi, Ikiwa na manufaa katika Jamii na mchango wake kiuchumi na Kielimu. Wageni wengine waliojumuika pamoja katika sherehe hiyo ni pamoja na Bukoba Rotary Club, GCN-Fair International Volunteers.
Taswira kamili ya Sherehe hiyo
No comments:
Post a Comment