
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akijiandaa kupiga mpira huku beki wa timu ya Kombaini ya Polisi, Salmin Kiss akijaribu kumzuia katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-0. (Picha na Francis Dande)



Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akijaribu kuwatoka wachezaji wa Kombaini ya Polisi.
Simon Msuva akiwania mpira.

Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akichuana na mchezaji wa Polisi Kombaini.
No comments:
Post a Comment