BUKOBA SPORTS

Sunday, September 27, 2015

HARUSI YA DICKSON BUSAGAGA NA SALOME MHOZYA [SEND-OFF PIA]


Dickson Busagaga (Blogger) na Salome Mhozya katika picha baada ya kufunga ndoa iliyowafanya kuungana na kuwa mwili mmoja tukio lililofanyika katika kanisa la Mt. Teresia wa Mtoto Yesu jimbo kuu la Tabora mnamo tarehe 23 Sep, 2015.

Waharusi (Dickson na Salome) wakionesha pete zao mara baada ya kuungana na kuwa kitu kimoja.

Hakika ilikuwa ni siku ya furaha sana kwao, hata walipoingia ukumbini katika sherehe ya usiku walidhihirisha kuto kubahatisha kuungana kwao.

Furaha ilitawala sana miongoni mwao na waalikwa wote.

MC Ndagula katika ubora wake wa kazi.

ZIFUATAZO NI PICHA ZA SENDOFF ILIYOFANYIKA TAREHE 19/09/2015 ORION
(TABORA HOTEL)

Picha ya pamoja ya maids, matron na aliyekuwa bibi harusi mtarajiwa

Mrs Patrick na Salome (aliyekuwa bibi harusi mtarajiwa) wakiingia ukumbini

Wazazi wa Salome wakisalimia waalikwa katika sherehe za kumuaga mtoto wao Salome

Wanakamati katika ubora wao wa kukabidhi zawadi za kamati

Dickson Busagaga, Mume halala wa Salome.

Bw. Patrick (Best man)

Picha na aloyson.com -TBN Tabora

No comments:

Post a Comment