Beki Gabriel Paulista alipigwa kadi nyekundu kwa kumpiga teke Diego Costa wakati Chelsea ilipoibuka mshindi kwa mabao 2-0 dhidi ya Arsenal katika mechi ya ligi kuu ya Uingereza siku ya jumamosi.
Costa alipigwa marufuku kwa kuzua ghasia katika kisa na beki mwenmgine wa Arsenal Laurent Koscielny kilichosababisha Gabriel kupigwa kadi nyekundu.
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa hatua ya kumpiga marufuku Costa ilisahihisha asilimia 5 pekee ya makosa yaliosababisha timu yake kushindwa katika uwanja wa Stamford Bridge.
No comments:
Post a Comment