Villa walitangulia kwa Bao la Chipukizi wao Jack Grealish na Carles Gil kuwapa Bao la Pili.
Lakini Ritchie de Laet aliwapa uhai Leicester na Jamie Vardy kusawazisha huku Nathan Dyer, Mchezaji wa Mkopo kuroka Swansea, akipiga Bao la ushindi katika Dakika ya 89.
Matokeo haya yamewafanya Leicester wakamate Nafasi ya Pili kwenye Ligi wakiwa Pointi 4 nyuma ya Man City na Pointi 1 mbele ya Timu ya 3 Man United.
Kipa akiwa na Dyerkwenye patashika
Jamie Vardyakishangilia bao lake
Vardy akishangilia baada ya kufanya 2-2
Ritchie De Laet alifanya 2-1
No comments:
Post a Comment