Mourinho alifungiwa mechi moja na kupigwa faini ya Pauni za Uingereza 50,000 na shirikisho la Kandanda la Uingereza. Alidai kuwa maafisa wa kandanda nchini humo wanaogopa kuipa timu yake penalti inayostahili. Madai ya Morinho yalitolewa baada ya tume huru maalimu kutoa sababu za adhabu hiyo kutolewa na FA. Kocha huyo machachari wa Chelsea hakuhudhuria kilichomwadhibu lakini alituma taarifa ya maandishi kujitetea.
Tuesday, October 20, 2015
LUGHA IMEMPOZA KOCHA WA CHELSEA JOSE MOURINHO!
Mourinho alifungiwa mechi moja na kupigwa faini ya Pauni za Uingereza 50,000 na shirikisho la Kandanda la Uingereza. Alidai kuwa maafisa wa kandanda nchini humo wanaogopa kuipa timu yake penalti inayostahili. Madai ya Morinho yalitolewa baada ya tume huru maalimu kutoa sababu za adhabu hiyo kutolewa na FA. Kocha huyo machachari wa Chelsea hakuhudhuria kilichomwadhibu lakini alituma taarifa ya maandishi kujitetea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment