BUNDESLIGA: BAYERN MUNICH 4 v 0 FC COLOGNE, MASTAA WAIPAISHA ZAIDI KILELENI BAYERN LEO! ARJEN ROBBEN ARUDI NA KUFUNGA BAO!
BAO za Bayern Munich zimefungwa na Arjen Robben dakika ya 35, Arturo Vidal dakika ya 40, Robert Lewandowski dakika ya 62, Thomas Müller dakika ya 77' Kwa mkwaju wa penati na kwa FC Cologne hawakufunga bao hata moja kwenye Uwanja wa Allianz Arena, Munich, Germany.Robben AKIPONGEZWA kwenye Uwanja wao wa Allianz Arena
No comments:
Post a Comment