
Azam FC walitanguliwa kupigwa Bao katika Dakika ya 34 baada ya Haithem Jouini kuwatoboa lakini Bao 2 za ndani ya Dakika 1 zilizofungwa na Farid Mussa na Ramadhan Singano ziliwapa ushindi wa Bao 2-1 Azam FC.
Timu hizi zitaruadiana huko Tunis, Nchini Tunis na Mshindi kusonga Raundi ya Mchujo kusaka Timu 8 za kuingia Hatua ya Makundi na Azam wanahitaji Sare yeyote ile ili kusonga lakini wakifungwa 1-0 wako nje kwa Bao la Ugenini.
Timu hizi zitaruadiana huko Tunis, Nchini Tunis na Mshindi kusonga Raundi ya Mchujo kusaka Timu 8 za kuingia Hatua ya Makundi na Azam wanahitaji Sare yeyote ile ili kusonga lakini wakifungwa 1-0 wako nje kwa Bao la Ugenini.
No comments:
Post a Comment