Azam FC, ambao walishinda 2-1 katika Mechi ya Kwanza iliyochezwa huko Azam Complex, Chamazi Wiki 2 zilizopita, Jana walipigwa Bao zote 3 katika Kipindi cha Pili.
Bao hizo zilifungwa Dakika za 49, 64 na 81 na Saad Bguir, Haythem Jouini na Fakhreddine Ben Youssef.
Hivyo Azam FC wametupwa nje ya Mashindano haya na ES Tunis kusonga mbele kwa Jumla ya Mabao 4-2.
No comments:
Post a Comment