Ranieri ameeleza: "Huwezi kuamini, ni historia na tunajua hilo. Ni muhimu kumaliza hadithi hii kama Sinema ya Kimarekani. Mwisho mwema!"
-Man United wamefungwa Mechi 1 tu kati ya 13 za mwisho dhidi ya Leicester na hiyo ilikuwa 5-3 Msimu uliopita huko King Power Stadium.
-Mechi ya mwisho kati ya Leicester na Man United ilichezwa Novemba 28 huko King Power Stadium na kuisha 1-1.
-Leicester, ambao wako kileleni mwa BPL kwa Siku zaidi ya 100, wamefungwa Mechi 1 tu kati ya 13 zilizopita.
No comments:
Post a Comment