
Pardew, mwenye Miaka 55, anaiacha Palace ikiwa Nafasi ya 17 kati Msimamo wa Timu 20 za EPL, Ligi Kuu England.
Jumamosi iliyopita Palace walifungwa 1-0 na Vinara Chelsea na kabla yah apo walichapwa na Manchester United.
Inaaminika Meneja aliepita wa England, Sam Allardyce, maarufu kama Big Sam, atafanya mazungumozo na Bodi ya Palace ndani ya Masaa 24 yajayo.
Mechi ifuatayo kwa Palace ni Siku ya Boksingi Dei, Desemba 26, ambapo Palace watacheza na Watford kwenye EPL.
No comments:
Post a Comment