
Chelsea imepata ushindi wa sita mfululizo katika Ligi Kuu ya Uingereza baada ya jana kusakata kandanda safi na kupata magoli hayo kupitia kwa Alvaro Morata na Marcos Alonso.

Alvaro Morata akifunga kwa mpira wa kichwa goli la kwanza la Chelsea

Katika mchezo huo Ashley Barnes aliwafungia wageni goli la kwanza na kisha baadaye Steven Defour akafunga goli la pili na kufanya hadi mapumziko matokeo kuwa 2-0.

No comments:
Post a Comment