Kesho Jumamosi wanatarajiakuangusha bonge la show kwa wakazi wa Manispaa ya Bukoba pale ukumbi wa St.Theresa karibu na banki ya NMB.
Show hiyo ni moja ya maadhimisho ya miaka 9 ya uwepo wa Kasibante Fm Radio Bukoba tangu kuanzishwa kwake.
Show hiyo itaanza majira ya saa moja jioni hadi majogoo huku Wheel Steel ikisimamiwa na DJ`s kutoka Pro24Tanzania.
No comments:
Post a Comment