
Serena raia wa Marekani mwenye umri wa miaka 36, wiki iliyopita alicheza mechi yake ya kwanza tangu ajifungue mwezi Septemba.
Williams, mshindi wa Grand Slam mara 23 na bingwa mtetezi wa michuano ya wazi Australia, amesema ingawa yupo vyema, lakini hajafikia kiwango cha ubora wake anachokitaka.

You might also like:
No comments:
Post a Comment