Shirikisho la Soka Kenya, FKF, lilidai Mchezaji huyo hakuwa na haki hiyo kwa vile hamna kipengele hicho kwenye Mkataba na Mdhamini.
Oliech, anaecheza Klabu ya Ufaransa Auxerre ambayo Msimu huu imeporomoka Daraja, ataiongoza tena Nchi yake kwenye Mechi ya Mchujo ya KUNDI F dhidi ya Malawi hapo Jumamosi Juni 2 Mjini Nairobi ili kutafuta kuingia Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2014 zitazochezwa Brazil.
Wakati wa mgogoro wa Oliech na FKF, Mwenyekiti wa FKF, Sam Nyamweya, alisema: ‘Mkataba unawaruhusu Wadhamini kutumia picha za Timu ya Taifa katika matangazo. Lakini sasa tunaongea nao upya ili nao Wachezaji wanufaike.’
Mechi inayofuata ya Kenya ya KUNDI F ni ugenini huko Windhoek dhidi ya Namibia.
KOMBE LA DUNIA BRAZIL 2014 = KANDA YA AFRIKA
KUNDI A=Ethiopia,Central Africa Republic, Botswana, South Africa
KUNDI B = Equatorial Guinea, Sierra Leone, Cape Verde, Tunisia
KUNDI C = Tanzania, Gambia, Morocco, Ivory Coast
KUNDI D = Lesotho, Ghana, Sudan, Zambia
KUNDI E = Congo, Burkina Faso, Niger, Gabon
KUNDI F = Namibia, Kenya, Malawi, Nigeria
KUNDI G = Mozambique, Zimbabwe, Guinea, Egypt
KUNDI H = Rwanda, Algeria, Benin, Mali
KUNDI I = Congo DR, Togo, Libya, Cameroun
KUNDI J = Liberia, Angola, Uganda, Senegal
RATIBA
RAUNDI MBILI ZA MWANZO
Ijumaa Juni 1
Zimbabwe v Guinea
Angola v Uganda
Ghana v Lesotho
Egypt v Mozambique
Jumamosi Juni 2
Togo v Libya
Kenya v Malawi
Central African Republic v Botswana
Cameroon v Congo, DR
Sierra Leone v Cape Verde
Gambia v Morocco
Sudan v Zambia
Tunisia v Equatorial Guinea
Ivory Coast v Tanzania
Burkina Faso v Congo
Senegal v Liberia
Algeria v Rwanda
Jumapili Juni 3
South Africa v Ethiopia
Niger v Gabon
Benin v Mali
Nigeria v Namibia
Ijumaa Juni 8
[FAHAMU: Baadhi ya Mechi zitachezwa Jumamosi na Jumapili. Tutajulisha baadae]
Botswana v South Africa
Ethiopia v Central African Republic
Equatorial Guinea v Sierra Leone
Cape Verde v Tunisia
Morocco v Ivory Coast
Tanzania v Gambia
Lesotho v Sudan
Zambia v Ghana
Congo v Niger
Gabon v Burkina Faso
Malawi v Nigeria
Namibia v Kenya
Guinea v Egypt
Mozambique v Zimbabwe
Rwanda v Benin
Mali v Algeria
Libya v Cameroon
Congo, DR vTogo
Uganda v Senegal
Liberia v Angola
No comments:
Post a Comment