ambao bao lao lilifungwa na Nahodha wao Zlatan Ibrahimovic, kwa kupachika bao 2 na kuwapa Ukraine ushindi wa bao 2-1 kwenye Mechi ya Kundi D la EURO 2012.
Sweden walitangulia kupata bao Dakika ya 52 lakini Dakika 3 baadae Shevchenko akasawazisha na Dakika 6 baadae akapiga bao la pili, yote yakiwa mabao ya kichwa.
Mechi inayofuata kwa Ukraine ni dhidi ya France na Sweden watacheza na England.
VIKOSI
Ukraine: 12-Andriy Pyatov; 9-Oleh Gusyev, 3-Evhen Khacheridi, 17-Taras Mykhalyk, 2-Evhen Selin; 4-Anatoly Tymoshchuk, 18-Serhiy Nazarenko, 11-Andriy Yarmolenko, 19-Evhen Konoplyanka; 7-Andriy Shevchenko, 10-Andriy Voronin
Sweden: 1-Andreas Isaksson; 2-Mikael Lustig, 3-Olof Mellberg, 4-Andreas Granqvist, 5-Martin Olsson; 6-Rasmus Elm, 9-Kim Kallstrom; 7-Sebastian Larsson, 10-Zlatan Ibrahimovic, 20-Ola Toivonen; 22-Markus Rosenberg
Referee: Cuneyt Cakir (Turkey)
No comments:
Post a Comment