MATOKEO:
LA LIGA
Malaga 1 Rayo Vallecano 2
Barcelona 3 Celta Vigo 1
Real Madrid 4 Real Zaragoza 0
Valencia 2 Atletico Madrid 0
SERIE A
AC Milan 5 Chievo Verona 1
BUNDESLIGA
Hoffenheim 3 Schalke 2
Hannover 2 Augsburg 0
Borussia Monchengladbach 1 Freiburg 1
Nuremberg 1 Wolfsburg 0
Borussia Dortmund 0 Stuttgart 0
Hamburger 0 Bayern Munich 3
Huko Spain, Barcelona na Real Madrid
zote zilishinda Mechi zao za nyumbani lakini katika Mechi hizo si Lionel
Messi wala Cristiano Ronaldo aliefunga bao kama ilivyo kawaida.
Bao za Barca katika ushindi wao wa 3-1 dhidi ya Celta Vigo zilifungwa na Adriano, David Villa na Jordi Alba.
Nao Real Madrid waliichapa Real Zaragoza
bao 4-0 na kuwafanya wapande hadi nafasi ya 3 na huo ulikuwa ushindi wa
100 kwa Meneja Jose Mourinho tangu aitwae Klabu hiyo.
Bao za Real zilifungwa na Gonzalo Higuain, Angel Di Maria, Michael Essien na Luka Modric.
No comments:
Post a Comment