
JB Mpiana

Mwanamuziki JB Mpiana na bendi yake wakifanya vitu vyao baada ya kupanda stejini kwenye viwanja vya Leaders Club, Kionondoni jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Hapa ilikuwa ni mida ya saa 9:00 baada ya gwiji huyu kusubiri sana kutokana na mizinguo ya umeme wa TANESCO na pia wa jenereta kubwa lililotegemewa mahala hapo kuzalishia nishati hiyo usiku wa kuamkia leo (Desemba 1, 2012).

Jenereta likizingua na hapa ni wadau na mafundi wakiangaika vilivyo...Ma

mashabiki wakiendelea kuserebuka

Baadhi ya wanamuziki wa JB Mpiana wakifanya vituuuz

Mashujaa Band

H.BABA alitinga na Trekta usiku huo

Dadaz wa Mashujaa Band

Picha kwa hisani ya michujijrblog
No comments:
Post a Comment