Awali, kwenye Uwanja huo huo, South Africa iliifunga Lesotho Bao 2-1 na kutwaa Nafasi ya Tatu.
Bao za Zambia zilifungwa na Alex N'gonga katika Dakika ya 4 kwa Frikiki murua na Bao la pili kufungwa na Mchezaji alietokea Benchi, Kabaso Chongo, katika Dakika ya 90.
No comments:
Post a Comment