BUKOBA SPORTS

Sunday, July 14, 2013

FULL-TIME! SUPERSPORT 2 vs MANCHESTER CITY 0, PELLEGRINI NAE AANZA VIBAYA ACHAPWA BAO MBILI BILA MAJIBU!!!

LEO Manchester City ikicheza na timu ya Supersport ya Africa kusini imefungwa bao 2-0 bila majibu huku timu hiyo inayoongozwa na kocha mpya Pellegrini imefungwa bila nyota wao kadhaa ambao bado wapo mapumzikoni mpaka sasa ambao ni David Silva, Sergio Aguero, Pablo Zabaleta na aliyesajiliwa hivi karibuni Jesus Navas

Matija Nastasic akiangalia mpira ukiishilia nyavuni baada ya Mame Niang kutupia nyavuni

Hata mchezaji wao mpya Fernandinho ameshindwa kuonesha makeke
Scott Sinclair akicheza uwanjani leo hii

No comments:

Post a Comment