BUKOBA SPORTS

Saturday, July 13, 2013

KAGASHEKI CUP 2013: BILELE 4 vs KIBETA 1, USWAZ WAENDELEZA KICHAPO TENA LEO HII!!!

Wachezaji wa Bilele na Kibeta wakisalimia kabla ya mtanange
Wachezaji wa Kibeta wakiomba uwanjani na kupeana mikakati
Mtanange huo umeanza...
Mchezaji wa Bilele baada ya kufunga akifurahia ushindi
Wenzie nao wakajumuika kumpongeza muda huo
Hongera sana kijana!!
Wachezaji wa Bilele wakirudi uwanjani.
Kibeta wakifanya mabadiliko
Mbele ya kocha wake !!

Nipe tano kwanza!!!
Mtukome!!

Wachezaji wa Bilele wakipongezana kwa furaha baada ya kufunga bao la tatuMchezaji wa Bilele akiwatoka mabeki wa Kibeta na kwenda kufunga bao
Mashabiki kwenye Jukwaa la Balimi hapakutosha!!

Mashabiki wa Bilele a.k.a Km 0 "mpango mzima"
wewe!!!
Furaha za ushindi za timu ya Bilele











No comments:

Post a Comment