BUKOBA SPORTS

Saturday, July 6, 2013

MICHUANO YA KOMBE LA KAGASHEKI YAANZA LEO HII KWENYE UWANJA WA KAITABA BUKOBA. TIMU YA HAMUGEMBE IKITANDIKWA NA BAKOBA BAO 1-0

Balozi Khamis Kagasheki  akisalimiana na wachezaji muda mfupi kabla ya mtanange kuanza
Balozi Khamis Kagasheki  ndiye ana

Jamal Malinzi kushoto nae alikuwepo kwenye ufunguzi huu wa kombe la Kagasheki
Balozi Khamis Kagasheki akifurahia leo hii kwenye ufunguzi wa kombe na hapa ni wakati anaongea na wachezaji pande zote mbili. Bakoba na Hamugembe
Wachezaji wakisalimiana kabla ya mtanange kuanza
Kikosi cha Timu ya Hamugembe
Kikosi cha timu ya Bakoba
Waamuzi wa mchezo huu wa Bakoba na timu ya Hamugembe
Wachezaji wa Hamugembe wakishangilia kwenda kuanza kandanda
Mchezo ukaanza kati
patashika!



watazamaji waliitikia kwa wingi
Wadau wakishangilia kwa sana baada ya Timu ya Bakoba kupata bao kipindi cha kwanza


Bw.Valelian wa Radio Vision naye alikuwepo kucheki kandanda

Bw. Ernest Nyambo (kaka mkubwa) kushoto nae alikuwepo na hapa alikuwa na rafiki yake wakifatilia mtanange
...Tunafatilia kwa makini!!!

watazamaji wakifatilia mtanange leo hii kwenye ufunguzi wa Kagasheki Cup leo hii

Nachukua matukio ni Bw. jamco Jamal Kalumuna akichukuwa Video kwenye Kagasheki cup leo hii


Bw.Faustine Ruta wa bukobasports.com nae alikuwepo uwanjani kuangalia swala zima la ufunguzi wa Kagasheki cup jioni ya leo.

No comments:

Post a Comment