Lionel Messi akishangilia bao lake baada ya kufanya 2-0 dhidi ya Celta Vigo
Messi akitupia bao katika dakika ya 30 kipindi cha kwanza
Kipa Victor Valdes aliumia kipindi cha kwanza na amelazimika kutolewa nje kwa matibabu huku nafasi yake ikichukuliwa na Jose Manuel Pinto
Neymar akishangilia bao lake la kipindi cha pili dakika ya 67 dhidi ya Celta Vigo
No comments:
Post a Comment