







Michezo na Nyama Choma hapa Washington DC kwa Watanzania.



































Wadau Wakipata UKODAK.


Mh:Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Washington ambaye sasa ni Katibu wa Jumuia ya Wana-DMV Ndugu Amosi Cherehani.
Katika hali ya Kuonesha Mshikamano na Umoja wa Watanzania hususani hapa Marekani,Hii leo tar 27/04/2014 Watanzania wamekutana tena Kwenye Tamasha la Michezo na Nyama Choma kwa Lengo la Kuimarisha Umoja na Muungano wetu uliochini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tamasha limefana sana na Watanzania wamejitokeza kwa WIngi Kutoka Majimbo mbalimbali hapa Marekani wamefika Washington Kujumuika pamoja,Ni tukio la aina yake ambalo Watanzania na Familia zao wameweza Kujamiiana na Kufahamiana Vizuri mbali na Maisha yao ya Kila siku hapa Marekani.
Katika Mchezo wa Mpira wa Miguu,Mchezo umemalizika kwa sare ya Magoli 2 kwa 2 ambapo Kilimanjaro Stars walifanikiwa Kupata Magoli yote mawili kipindi cha Kwanza na Baada ya Mapumziko Zanzibar Heroes wakafanikiwa Kurudisha Magoli yote Mawili hali ilioleta msisimko Mkubwa sana kwa Mashabiki hasa Ukizingatia Kipindi hiki Watanzania wanapigania Serikali mbili ziendelee Kuwa nguzo za Muungano wa Tanzania,Hivyo Magoli Mawili kwa kila Upande wa Muungano yaweza Kutafsiriwa kuwa ni Kuunga Mfumo wa Serikali mbili(Ni Mawazo Binafsi)
Mwisho wa Mchezo timu zote Mbili zilifanya Maridhiano ya Kila timu Iinue Kombe na Kushangilia na baadae Kumkabishi Balozi Libereta Mulamula.
Picha/Maelezo na Festo Sanga-Washington DC.
Katika hali ya Kuonesha Mshikamano na Umoja wa Watanzania hususani hapa Marekani,Hii leo tar 27/04/2014 Watanzania wamekutana tena Kwenye Tamasha la Michezo na Nyama Choma kwa Lengo la Kuimarisha Umoja na Muungano wetu uliochini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tamasha limefana sana na Watanzania wamejitokeza kwa WIngi Kutoka Majimbo mbalimbali hapa Marekani wamefika Washington Kujumuika pamoja,Ni tukio la aina yake ambalo Watanzania na Familia zao wameweza Kujamiiana na Kufahamiana Vizuri mbali na Maisha yao ya Kila siku hapa Marekani.
Katika Mchezo wa Mpira wa Miguu,Mchezo umemalizika kwa sare ya Magoli 2 kwa 2 ambapo Kilimanjaro Stars walifanikiwa Kupata Magoli yote mawili kipindi cha Kwanza na Baada ya Mapumziko Zanzibar Heroes wakafanikiwa Kurudisha Magoli yote Mawili hali ilioleta msisimko Mkubwa sana kwa Mashabiki hasa Ukizingatia Kipindi hiki Watanzania wanapigania Serikali mbili ziendelee Kuwa nguzo za Muungano wa Tanzania,Hivyo Magoli Mawili kwa kila Upande wa Muungano yaweza Kutafsiriwa kuwa ni Kuunga Mfumo wa Serikali mbili(Ni Mawazo Binafsi)
Mwisho wa Mchezo timu zote Mbili zilifanya Maridhiano ya Kila timu Iinue Kombe na Kushangilia na baadae Kumkabishi Balozi Libereta Mulamula.
Picha/Maelezo na Festo Sanga-Washington DC.
No comments:
Post a Comment