BUKOBA SPORTS

Thursday, April 24, 2014

EUROPA LEAGUE: BENFICA 2 v JUVENTUS 1


BENFICA 2 vs JUVENTUS 1
Benfica, wakicheza Uwanja wa Nyumbani Estadio da Luz, Mjini Lisbon, Ureno, walianza kwa moto na Kona ya Dakika ya Pili ilizaa Goli la kichwa cha Garay na Bao hilo kudumu hadi Mapumziko.
Juve walisawazisha kwenye Dakika ya 73 kwa Bao la Carlos Tevez lililosukwa vizuri na ushirikiano wa Marchisio na Asamoah.
Lakini Benfica walipata Bao la Pili na la ushindi katika Dakika ya 84 kwa Shuti safi la Lima.
Garay akishangilia bao lake mapema katika kipindi cha kwanza.
Party time: Garay leads the celebrations after opening the scoring in the semi finalBao lake la kichwa la mapema lilifanya waongeze mashambulizi
Bullet: Ezequiel Garay heads home the opener to give Benfica the lead in LisbonMpaka nyavuni....Mashabiki wa Benfica wakishangilia
Kipindi cha pili Tevez alirudisha bao Level: Carlos Tevez scored a vital away goal for Juventus before Lima scored the winner late onTevez akikatiza!!!
VIKOSI:
Benfica: Artur Moraes, Maxi Pereira, Luisao, Garay, Siqueira, Markovic, Perez, Gomes (Ivan Cavaleiro 82), Rodrigo, Cardozo (Lima 62), Sulejmani (Andre Almeida 60).
Subs Not Used: Oblak, Ruben Amorim, Djuricic, Jardel.
Booked: Gomes, Artur Moraes, Andre Almeida.
Goals: Garay 2, Lima 84.
Juventus:
Buffon, Caceres, Bonucci, Chiellini, Pirlo, Lichtsteiner, Pogba, Marchisio, Asamoah, Tevez (Osvaldo 83), Vucinic (Giovinco 65).
Subs Not Used: Storari, Ogbonna, Llorente, Barzagli, Padoin.
Booked: Pogba.
Goals: Tevez 73.
Ref: Cuneyt Cakir (Turkey)

No comments:

Post a Comment