Taarifa za kuaminika ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba Domayo anakaribia kumaliza mkataba wake na Yanga, na Simba walipogundua hilo wakazungumza haraka na mchezaji huyo na kufanikiwa kumpa mkataba mzuri huku Domayo akilamba millioni 40 kama fedha ya usajili.
Tuesday, April 1, 2014
FRANK DOMAYO ASAJILIWA SIMBA - KUTUA MSIMBAZI MSIMU UJAO
Taarifa za kuaminika ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba Domayo anakaribia kumaliza mkataba wake na Yanga, na Simba walipogundua hilo wakazungumza haraka na mchezaji huyo na kufanikiwa kumpa mkataba mzuri huku Domayo akilamba millioni 40 kama fedha ya usajili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment